
Mkuu wa wilaya ya Tanga Mhe Japhari Kubecha Amezindua mafunzo ya Mradi wa E360 wa Uwezeshaji wa Ujasiriamali kwa Wananchi ambao Waliguswa na mradi wa Bomba la Mafuta ,Mafunzo hayo Yalishirikisha Watu Mbalimbali Wenyeviti wa Mitaa ,Watendaji wa Kata na Mitaa ambao Mradi Huu Umepita , Pia Viongozi wa Dini Pamoja na Wananchi ambao Mradi wa Bomba la Mafuta Uliwagusa ,Aidha Mkuu wa wilaya Amewaomba washiriki Kupokea mafunzo haya ya Uwezeshaji Kiuchumi na Ujasiriamali ili Waweze Kunufaika na Kuweza Kuwa na Tija kwani Kupitia Mradi Wa Bomba la Mafuta Wameweza kupata Fursa mbalimbali na Kujikwamua Kiuchumi ,Pia Ametoa Rai kwa Yeyote Yule Kutokwamisha...