DC KUBECHA AZINDUA MRADI WA E360 WA UWEZESHAJI UJASIRIAMALI WA WANANCHI WALIOGUSWA NA MRADI WA BOMBA LA MAFUTA, -

Mkuu wa wilaya ya Tanga Mhe Japhari Kubecha  Amezindua mafunzo ya Mradi wa E360 wa Uwezeshaji wa Ujasiriamali kwa Wananchi ambao Waliguswa na mradi wa Bomba la Mafuta ,Mafunzo hayo Yalishirikisha Watu Mbalimbali Wenyeviti wa Mitaa ,Watendaji wa Kata na Mitaa ambao Mradi Huu Umepita , Pia Viongozi wa Dini Pamoja na Wananchi ambao Mradi wa Bomba la Mafuta Uliwagusa ,Aidha Mkuu wa wilaya Amewaomba washiriki Kupokea mafunzo haya ya Uwezeshaji Kiuchumi na Ujasiriamali ili Waweze Kunufaika na Kuweza Kuwa na Tija kwani Kupitia Mradi Wa Bomba la Mafuta Wameweza kupata Fursa mbalimbali na Kujikwamua Kiuchumi ,Pia Ametoa Rai kwa Yeyote Yule Kutokwamisha...

Bumbuli wamshukuru January Makamba kwa kutatua kero,waahidi kumchagua tena

Wakizungumza wakati wa ziara ya Mbunge huyo ya kusikiliza kero na kutoa majawabu aliyoifanya katika kila kijiji cha jimbo hilo, wananchi wamesema jitihada anazozifanya Mbunge wao kutatua changamoto katika sekta zote, wanasisitiza kuwa lazima wamchague tena." Sisi wananchi wa Bumbuli hatuna deni na wewe kwa sababu umetufanyia mengi, tena mengine kwa pesa zako za mfukoni. Hivyo, sisi tunaenda na wewe na hatutokuacha. Jibu letu utalipata Oktoba kwenye sanduku la kura," alisema Christina Kupaza, mkazi wa Vuga.Said Dhahabu, mkazi wa kijiji cha Manga Funta, alieleza sababu za kumchagua tena Mbunge huyo kutokana na namna alivyoisaidia jamii yao kutatua...

RC BATILDA AWATAKA WAKAZI WA TANGA KUJIEPUSHA NA VIASHIRIA VYA UVUNJIFU WA AMANI KUELEKEA UCHAGUZI

Na Hadija Bagasha Tanga,Mkuu wa Mkoa wa Tanga Balozi Dkt. Batilda Burian amewataka wakazi Mkoani Tanga kujiepusha na vitendo vyote vinavyoashiria uvunjifu wa amani katika kipindi hiki ambacho Taifa linaelekea katika Uchaguzi wa Serikali za mitaa na uchaguzi Mkuu baadae mwakani.Balozi Dkt.  Batilda ametoa wito huo Septemba 22,2024 katika kilele cha tamasha kubwa la Utalii wilayani Lushoto la USAMBARA TOURISM FESTIVAL lililofanyika kwa siku mbili katika viwanja vya Nyerere Square, ambapo amesema ni jukumu la kila mwanatanga kuhakikisha amekuwa sehemu ya amani na utulivu kuanzia kipindi hiki ambacho wananchi wameanza kujiandikisha katika daftari...

DC PANGANI ASISITIZA MATUMIZI YA MFUMO WA GoTHOMIS VITUO VYOTE VYA AFYA.

Mkuu wa Wilaya ya Pangani mhe Mussa Kilakala  amefanya ziara yake ya kikazi ya kukagua ujenzi wa miundombinu ya vyoo vya watumishi,ujenzi wa kinawia mikono pamoja na kichomea taka katika Zahanati ya Kipumbwi.Hayo yamefanyika leo Julai 10,2024 ambapo amesisitiza matumizi  ya mfumo wa usimamizi wa Sekta ya Afya (GoTHOMIS).Akizungumza mala baada ya ukaguzi wa miundombinu hiyo mhe Mussa Kilakala ameeleza kuwa kwenye matumizi ya GoTHOMIS kwenye vituo vya kutolea huduma za afya, ni takwa la Serikali na kila Zahanati ihakikishe inatumia mfumo huo.Ikumbukwe kuwa GoTHOMIS ni mfumo wa kumeneji taarifa na kukusanyia mapato ambao licha ya kuthibiti...

RC SHIGELLA MGENI RASMI TANGA CITY MARATHON JUMAMOSI WIKI HII MJINI TANGA

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. Mratibu wa Mashindano ya Riadha ya Tanga City Marathon, Juma Mwajasho kulia akitetea jambo na waandishi wa habari kuhusu maandalizi ya kuelekea mashindano hayo Jumamosi wiki hiikushoto ni Meneja wa Mkwabi Super Market ya Jijini Tanga ambao niwaandaaji wakuu wa mbio hizo,Kawkab Hussein na Katibu wa Chama cha Riadha Mkoani Tanga (RT) Hassan Mwagomba Katibu wa Chama cha Riadhaa Mkoa wa Tanga (RT) Hassan Mwagomba akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na uwepo wawashiriki kutoka Visiwa vya Shelisheli, Unguja...

NAIBU WAZIRI AWESO SIPO TAYARI KUONA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO ZINATUMIKA VIBAYA

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.  Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji Jumaa Aweso kushoto akimsikiliza kwa umakini Mkandarasi kutoka Kampuni ya Wesers Limited ambaye anasimamia mradi wa ujenzi wa jengo la Halmashauri ya wilaya ya Pangani Kisyeri Chambiri mara baada ya kulitembelea kuona namna linavyoendelea wakati wa ziara yake ambapo alihimiza likamilike kwa wakati kulia ni Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Pangani  Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji Jumaa Aweso kushoto akimueleza jambo  Mkandarasi kutoka Kampuni ya Wesers...

CHATANDA AWAWASHIA 'MOTO' WAHANDISI WA MAJI HALMASHAURI YA MJI KOROGWE

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.  PICHANI: Mbunge wa Jimbo la Korogwe Mjini mkoani Tanga (CCM) Mary Chatanda (kushoto) leo Februari 28, 2018 amefika Mtaa wa Kwanduli, Kata ya Bagamoyo katika Halmashauri ya Mji Korogwe kuangalia miradi mbalimbali ikiwemo ule wa umeme kwenye vitongoji sita vya Mtaa wa Kwanduli unaotekelezwa kupitia Wakala wa Umeme Vijijini (REA). Pichani anaangalia nguzo ambapo wakati wowote zitasimikwa. (Picha na Yusuph Mussa). Na Yusuph Mussa, Korogwe IMMAMATUKIO MBUNGE wa Jimbo la Korogwe Mjini Mary Chatanda amesema kitendo...
 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Tanga Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa