Imeandikwa na Isdory Kitunda
Kijazi ameyasema hayo leo wakati akiwasilisha mada katika mkutano wa
wahariri na wanahabari waandamizi wa vyombo vya habari mbalimbali nchini
unaofanyika jijini Tanga. "Programu hii ambayo tumeianzisha itasaidia
sana kuondoa migogoro na wananchi wanaozunguka hifadhi mbalimbali
zilizopo hapa nchini," amesema Kijazi.
CHANZO HABARI LEO
0 comments:
Post a Comment