Home » » TANAPA YAANZISHA PROGRAMU MAALUMU YA KUONDOA MIGOGORO YA ARDHI

TANAPA YAANZISHA PROGRAMU MAALUMU YA KUONDOA MIGOGORO YA ARDHI

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.

 Imeandikwa na Isdory Kitunda
Mkurugenzi Mkuu wa Hifadhi za Taifa (TANAPA), Allan Kijazi amesema imenzisha programu maalumu ambayo itasaidia kuondoa migogoro ya ardhi baina ya hifadhi na wananchi wanaouzunguka maeneo hayo.
Kijazi ameyasema hayo leo wakati akiwasilisha mada katika mkutano wa wahariri na wanahabari waandamizi wa vyombo vya habari mbalimbali nchini unaofanyika jijini Tanga. "Programu hii ambayo tumeianzisha itasaidia sana kuondoa migogoro na wananchi wanaozunguka hifadhi mbalimbali zilizopo hapa nchini," amesema Kijazi.
CHANZO HABARI LEO

0 comments:

Post a Comment

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Tanga Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa