Home » » MAGHEMBE: KWA KIASI KIKUBWA SERIKALI IMEFANIKIWA KUPAMBANA NA TATIZO LA UJANGILI

MAGHEMBE: KWA KIASI KIKUBWA SERIKALI IMEFANIKIWA KUPAMBANA NA TATIZO LA UJANGILI

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 

 Imeandikwa na Katuma Samba
Waziri wa Maliasili na Utalii Profesa Jumanne Maghembe
Waziri wa Maliasili na Utalii Profesa Jumanne Maghembe amesema kwa kiasi kikubwa serikali imefanikiwa kupambana na tatizo la ujangili hatua iliyosababisha ujangili huo kupubgua kwa kiasi kikubwa.
Aidha, amevipongeza vyombo vya habari kwa kufanikisha vita hiyo huku akivitaka kuendelea kuandika zaidi ili kuweza kumaliza vita hiyo.
Waziri Maghembe ameyasema hayo leo wakati akifungu mkutano wa mwaka wa Wahariri na Wanahabari waandimizi wa masuala ya utalii ambao umeandaliwa na Mamlaka ya Hifadhi za Taifa (TANAPA) ambao unafanyika Tanga kuanzia leo.
"Unajua vile mnavyoandika imesaidia juwaelimisha wananchi kuacha kujishughulisha na mambo ya ujangili, tumefanikiwa kupunguza ujangili kwa kiasi kijubwa, endeleeni kuandika kuhusu vita hii," amesema Waziri Maghembe.
CHANZO HABARI LEO

0 comments:

Post a Comment

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Tanga Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa