Home » » TUKIO LA KUSIKITISHA: WATOTO WAWILI WAFARIKI DUNIA KWA KUANGUKIWA NA MTI

TUKIO LA KUSIKITISHA: WATOTO WAWILI WAFARIKI DUNIA KWA KUANGUKIWA NA MTI

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 
Huu ndio mti uliosababisha vifo vya watoto wawili


Mmoja wa shuhuda akizungumzia kuhusu tukio hilo ambapo watoto wawili walifariki na mmoja kujeruhiwa na mti huo
Kiongozi akizungumzia swala hilo na kusisitiza wazazi wawachunge watoto wao wasiwe wanacheza maeneo hayo ya miti
Baadhi ya Mashuhuda wakishuhudia tukio zima la watoto hao waliofariki kwa kuangukiwa na mti
Hapa ilikuwa ni wakati wa kuwaokoa watoto hao

Picha zote na Tanga yetu Blog

0 comments:

Post a Comment

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Tanga Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa