Home » » NAIBU WAZIRI MANYANYA AWATAKA WAZAZI KUFUATILIA MAENDELEO YA WATOTO WAO SHULENI.

NAIBU WAZIRI MANYANYA AWATAKA WAZAZI KUFUATILIA MAENDELEO YA WATOTO WAO SHULENI.

 Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 

Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknologia, Mhandisi Stella Manyanya wa pili kutoka kulia akitembelea shule ya Msingi Bagamoyo wakati wa ziara yake wilayani Korogwe kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Korogwe,Mhandisi Robert Gabriel na anayefuatia ni Mbunge wa Jimbo la Korogwe Mjini (CCM) Marry Chatanda
Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknologia, Mhandisi Stella Manyanya akiwasili katika shule ya Msingi Matondoo wakati ewa ziara yake ya kukagua maendeleo ya sekta hiyo wilayani Korogwe
Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknologia, Mhandisi Stella Manyanya akisalimiana na walimu wa shule ya msingi Matondoo wa kwanza kulia ni Mkuu wa wilaya ya Korogwe,Mhandisi Robert Gabriel
Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknologia, Mhandisi Stella Manyanya wa pili kutoka klushoto akimsikiliza Afisa Tarafa ya Korogwe mjini,Michael John kuhusu ujenzi wa baadhi ya madarasa kwenye shule hiyo kulia ni Mkuu wa wilaya ya Korogwe,Mhandisi Robert Gabriel wa pili kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Korogwe Mji,Jumanne Shauri anayefuatia ni Mbunge wa Jimbo la Korogwe Mjini (CCM) Marry Chatanda
Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknologia, Mhandisi Stella Manyanya wa pili kutoka kushoto akimsikiliza Mkuu wa wilaya ya Korogwe,Mhandisi Robert Gabriel wakati wa ziara yake wa pili kulia ni Mbunge wa Jimbo la Korogwe Mjini (CCM) Marry Chatanda
Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknologia, Mhandisi Stella Manyanya akiwa ameshika mtoto wakati wa ziara yake kulia ni Mkuu wa wilaya ya Korogwe,Mhandisi Robert Gabriel kulia ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe,Jumanne Shauri
Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknologia, Mhandisi Stella Manyanya akizungumza na wanafunzi wa shule ya msingi Bagamoyo iliyopo wilayani Korogwe ambapo aliwataka kusoma kwa bidii ili waweze kupata mafanikio

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe,Jumanne Shauri akizungumza na wanafunzi wa shule ya msingi Matondoo wakati wa ziara hiyo ambapo aliwataka kutilia mkazo masomo ya sayansi
Mbunge wa Jimbo la Korogwe Mjini (CCM) Marry Chatanda akisalimia na wananchi wa Jimbo lake wakati wa ziara hiyo ya
Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknologia, Mhandisi Stella Manyanya
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe ,Jumanne Shauri akizungumza katika ziara ya Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknologia, Mhandisi Stella Manyanyawa tatu kutoka kulia
Mkuu wa wilaya ya Korogwe,Mhandisi Robert Gabriel akizungumza katika halfa hiyo
Mbunge wa Jimbo la Korogwe Vijijini (CCM) Stephen Ngonyani alimaarufu Proffesa Maji Marefu akimuonyesha kitu Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknologia, Mhandisi Stella Manyanya
Mbunge wa Jimbo la Korogwe Mjini (CCM) Marry Chatanda akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mkakati waliojiwekea kuhakikisha wanapiga hatu kubwa kielimu
Baadhi ya wanafunzi wakimsikiliza Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknologia, Mhandisi Stella Manyanya ambaye hayupo pichani

Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknologia, Mhandisi Stella Manyanya katika akisisitiza jambo kwa Mkuu wa wilaya ya Korogwe, Mhandisi Robert Gabriel kushoto wakati wa ziara yake alipotembelea kukagua maendeleo ya ujenzi wa maktaba ya wilaya hiyo ambao umeshindwa kuendea kwa muda mrefu ambapo aliagiza uendelezwe kulia ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Korogwe Mji Jumanne Shauri na
Mbunge wa Jimbo la Korogwe Mjini (CCM) Marry Chatanda,Habari kwa Hisani ya Blog ya Kijamii ya Tanga Raha
Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknologia,
Mhandisi Stella Manyanya akiwa kwenye picha ya pamoja na walimu wa shule ya msingi matondoo

0 comments:

Post a Comment

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Tanga Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa