Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
HALMASHAURI ya Jiji la Tanga imetenga sh milioni 65 kukamilisha
ujenzi wa jengo la kliniki, wodi ya watoto na stoo ya dawa katika
Hospitali ya Ngamiani.
Diwani wa Majengo, Mohamed Jeff, alibainisha hayo jana alipozungunza
na wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika kata hiyo na
kueleza maendeleo kwa kipindi cha mwaka 2009 hadi 2014.
Alisema pamoja na hatua hiyo, pia halmashauri imekamilisha majengo
mengine kama vile jengo la ushauri nasaha na upimaji wa ukimwi pamoja
na jengo la wagonjwa wa kifua kikuu (TB).
Chanzo;Tanzania Daima
0 comments:
Post a Comment