Home » » KIKAO CHA BARAZA LA MADIWANI BUMBULI

KIKAO CHA BARAZA LA MADIWANI BUMBULI

Wa kwanza kutoka kulia ni Mkurugenzi wa Halmashauri  Beatrice Mdomisi , wa katikati ni Mbunge wa Bumbuli  January Makamba , na wa kwanza kutoka upande wa kushoto ni Afisa utumishi wa Halmashauri ya Bumbuli Kervin Lefi.

Dhumuni la kikao cha madiwani hao ilikuwa ni kuzungumzia maendeleo ya halmashauri mpya ya Bumbuli , kuanzisha Hospitali, Miradi ya maji ya Mgawishi na Mbelei pamoja na ujenzi wa barabara kutokea  soni hadi Bumbuli.
Picha na Tabitha Hudson
Tanga yetu Blog

0 comments:

Post a Comment

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Tanga Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa