Home » » KIKAO CHA BARAZA LA WAFANYAKAZI CHAFANYIKA MKOANI TANGA L EO.

KIKAO CHA BARAZA LA WAFANYAKAZI CHAFANYIKA MKOANI TANGA L EO.

 katikati waziri wa nchi ofisi ya makamu wa Rais Mazingira Mh Ddkt Terezya Huvisa kulia ni katibu mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Bw. Sazi Salula na kushoto ni katibu mpya wa Baraza la wafanyakazi Ofisi ya Makamu wa Rais Bw. Isaya Kisiri,katika kikao cha Baraza la wafanyakazi la ofisi hiyo mjini Tanga leo.
Waliokaa, katikaTi ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Mh. Dkt Terezya Huvisa katika picha ya pamoja na wajumbe wa baraza jipya la wafanyakazi la Ofisi hiyo jijini Tanga leo..
 Wajumbe wa baraza jipya la wafanyakazi kutoka ofisi ya makamu wa rais katika kikao cha baraza hilo mjini tanga leo.
.Picha na Evelyn Mkokoi.

0 comments:

Post a Comment

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Tanga Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa