BASI lenye namba ya usajili T848
ASZ
lilipinduka baada ya kuacha
barabara na kuingia vichakani
wakati lilipokuwa likivutwa
baada ya kuharibika,
Ajali hii ilitokea katika kijiji
chaManga Mkoani Tanga
barabara ya kutoka Dar
kuelekea Tanga, Inasemekana
halikuwa na abiria yeyote ni
Dereva na Konda tu ndio
waliyonusurika kifo katika ajali hiyo.
lilipinduka baada ya kuacha
barabara na kuingia vichakani
wakati lilipokuwa likivutwa
baada ya kuharibika,
Ajali hii ilitokea katika kijiji
chaManga Mkoani Tanga
barabara ya kutoka Dar
kuelekea Tanga, Inasemekana
halikuwa na abiria yeyote ni
Dereva na Konda tu ndio
waliyonusurika kifo katika ajali hiyo.
0 comments:
Post a Comment