Home » » ANATAFUTWA KWA KOSA LA MAUWAJI

ANATAFUTWA KWA KOSA LA MAUWAJI



Hellow marafiki haswa mnaoishi Tanga huyu nii mume wa mama mdogo na rafiki yangu wa karibu.

Huyu jama ametoweka na anashtumiwa kwa kosa la kumnyonga aliyekuwa mkewe kwa sababu ya mapenzi. 

Mwili wa marehemu umekutwa store nyumbani kwa huyu bwana. Na inasemekana ameonekana Tanga leo mchana. 

Jina la huyu jamaa ni: Yahaya Ramadhani Gombe 
Kabila: Mzigua 
Makazi: Mbagala DSM, 
RB Number: MBL/ RB/11742/12.MAUWAJI 
Tafadhali ukimuona toa taarifa katika kituo cha police.


0 comments:

Post a Comment

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Tanga Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa