Home » » Amsha amsha ya Tamasha la Fiesta 2012 lanoga jijini Tanga.

Amsha amsha ya Tamasha la Fiesta 2012 lanoga jijini Tanga.



 Watangazaji wa Clouds Fm Adam Mchomvu na Loveness Love a.k.a Diva Mimi wakirusha matangazo 'Live' ndani ya jiji la Tanga.  Fiesta ndiyo hiyo imeanza kubamba na itafanyika tarehe 26.8.2012 uwanja wa Mkwakwani kwa kiingilio cha Buku tano tu.
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

0 comments:

Post a Comment

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Tanga Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa