Home » » SHUGHULI MBALIMBALI ZA UVUVI WA SAMAKI PWANI YA TANGA

SHUGHULI MBALIMBALI ZA UVUVI WA SAMAKI PWANI YA TANGA

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 


 Wachuuzi wa Samaki  wakiwa wanaelekea ndani ya Maji kwa ajili ya kununua Samaki maharufu kma Uono ambao wanapendwa sana katika mji wa Tanga kwa ajili ya kulia Ugali na kutafuna wakati wa chai asubuhi

 Wachuuzi wa Samaki wakiwania Samaki katika moja ya jahazi lililoingia na mzigo kutoka  katika kina kirefu mara baada ya kusubiri muda mrefu
 Mchuuzi wa Samaki akingi katika maji kwa ajili ya kununua Samaki katika Majahazi yaliyofika katika ufukwe wa Sahare
 Mchuuzi wa Samaki akingi katika maji kwa ajili ya kununua Samaki katika Majahazi yaliyofika katika ufukwe wa Sahare
 Wavuvi wakiondoka kwenda kuvua mapema leo Asubuhi katika pwani ya Jiji La Tanga
 Mchuuzi wa Samaki akingi katika maji kwa ajili ya kununua Samaki katika Majahazi yaliyofika katika ufukwe wa Sahare
 Mkazi wa Jiji la Tanga akichagua Samaki kutoka wauzaji wa soko la Sahare jijini Tanga














0 comments:

Post a Comment

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Tanga Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa