Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
Hayo yalibainishwa na Ofisa Habari wa shirika hilo lenye makao yake
Makuu Makuu nchini Uturuki, Yusuph Mjema alipofanya ziara yake ya siku
moja ya kukitembelea kikundi hicho, ili kubaini changamoto mbalimbali
zinazowakabili katika shughuli zao ujasiliamali.
Katika hafla hiyo, Mjema alisema shirika lao limeamua kuwatembelea
kinamama hao baada ya kufanya uchunguzi na kubaini wanakabiliwa na
changmoto nyingi ikiwemo ukosefu wa elimu ya biashara ndogondogo, hali
inayocahngia biashara zao kukwama.
Chanzo:Tanzania Daima
0 comments:
Post a Comment