Home » » Waziri Mkuu Mh. Pinda afungua kongamano la Uwekezaji kanda ya Kaskazini Tanga

Waziri Mkuu Mh. Pinda afungua kongamano la Uwekezaji kanda ya Kaskazini Tanga

IMG_0090
Baadhi ya Washiriki wa Kongamano la uwekezaji kwa  mikoa ya Kanda ya Kaskazini wakimsikiliza Waziri mkuu, Mizengo Pinda wakati alipofungua kongamano lao kwenye hoteli ya Mkonge mjini Tanga , Septemba 26, 2013. (Picha na ofisi ya Waziri Mkuu).
IMG_0091
IMG_0315
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitazama sketi  iliyoshonwa  kwa mtindo wa vazi la asili la watu wa Hanang wakati  alipotembelea banda la Wilaya hiyo katika maonyesho  yaliyoambatana na  Kongamano la Uwekezaji la Kanda  ya Kaskazini lililofunguliwa na Waziri Mkuu kwenye hoteli ya Mkonge Mjini Tanga Septemba 26, 2013.  Kushoto ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwezeshajina Uwekezaji ambaye pia ni Mbunge wa Hanang, Dr.Mary Nagu, Wapili Kulia ni  Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Chiku Galawa na wapili kulia ni Mkuu wa WIlaya ya Hang, Christina Mdeme. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

0 comments:

Post a Comment

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Tanga Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa