Mbunge wa Viti maalum mkoa wa Tanga Amina Mwidau (CUF), kikabidhi pampu ya Maji kwa Diwani wa kata ya Mwera Mkaidi Maisha(CUF),aliyemama kulia na kushoto ni Mtendaji wa kijiji cha Mwera Yoweli Halimoja.
Mbunge wa Viti maalum mkoa wa Tanga Amina Mwidau (CUF), kikabidhi, waya kwa ajili ua kufungia pampu ya maji kwa Diwani wa kata ya Mwera Mkaidi Maisha jana wilayani Pangani. Picha na Bakari Kimwanga, Pangani
Mbunge wa Viti maalum mkoa wa Tanga Amina Mwidau (CUF), akimkabidhi mpira kwa kiongozi wa timu ya Mwera FC Saidi Mohammed jana wilayani Pangani.
0 comments:
Post a Comment