Home » » ZIARA YA KINANA WILAYA YA KILINDI MKOANI TANGA‏

ZIARA YA KINANA WILAYA YA KILINDI MKOANI TANGA‏

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na wananchi wa Kwediboma wakati wa mapokezi .

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akiwaslimia wakazi wa Kwediboma wilaya ya Kilindi mkoani Tanga.


Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wakazi wa Kwediboma wakati wa kushiriki kujenga msingi wa kituo cha afya cha Kwediboma.

Katibu Mkuu Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kutandaza mawe kwenye msingi wa kituo cha afya Kwediboma.

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kumwaga zege kwenye msingi wa chumba cha mahabara ya Shule ya Sekondari Kibirashi wilayani Kilindi.
Wakina mama wa kimasai wakiwa kwenye mkutano wa hadhara Kibirashi.
 Bendera za CCM zikipepea
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wakazi wa Kibirashi wilaya ya Kilindi.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisisitiza jambo wakati wa mkutano wa hadhara Kibirashi,Kilindi.



Wakazi wa Kibirashi wakifuatilia yaliyojiri kwenye mkutano.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwa pamoja na wanachama wapya wa CCM wakila kiapo cha utiifu cha kujiunga na Chama Cha Mapinduzi.

 Hivi ndivyo Kinana alivyopokelewa Kilindi
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Wazee wa Songe wilaya ya Kilindi wakati wa mapokezi kwenye uwanja wa mkutano.
 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akiwahutubia wakazi wa Songe wilayani Kilindi wakati wa mkutano wa hadhara.
 Umati wa watu wakimsikiliza Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika Songe wilaya ya Kilindi.
 Wananchi wa Songe wakinunua nguo za CCM,Ssre za Chama Cha Mapinduzi zinazidi kupendwa siku hadi siku .
 Hili ndio Soko la Mahindi Songe.
 Wananchi wa Songe wakishangilia jambo wakati wa mkutano wa hadhara.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wakazi wa Songe  kwenye mkutano wa hadhara ambapo aliwaambia wananchi hao kuwa Serikali haiwezi kufanya kila kitu hivyo hakuna ya kuongeza bidii katika kujitegemea.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akinunua karanga baada ya kumaliza mkutano wake kata ya Songe wilaya ya Kilindi mkoa wa Tanga.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki ujenzi wa ofisi ya CCM wilaya ya Songe.

0 comments:

Post a Comment

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Tanga Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa