Home » » HATARI: LORI LA MAFUTA LAPINDUKA NA KUWAKA MOTO TANGA

HATARI: LORI LA MAFUTA LAPINDUKA NA KUWAKA MOTO TANGA


Lori la mafuta likiteketea kwa moto mara baada ya kugonga nguzo ya umeme maeneo ya Amasia huko Handeni mkoani Tanga leo.Wananchi wakishuhudia moto mkubwa uliozuka katika ajali hiyo.

CHANZO GLOBAL PUBLISHERS 
Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.

0 comments:

Post a Comment

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Tanga Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa