Home » » RAIS KIKWETE AFUNGUA SOKO LA VYAKULA MICHUNGWANI MUHEZA

RAIS KIKWETE AFUNGUA SOKO LA VYAKULA MICHUNGWANI MUHEZA

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 


D92A8333Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akifunua kitambaa katika jiwe la msingi kuashiria kufungua na kukagua bidhaa Soko la Vyakula Michungwani wiyani Muheza leo.D92A8349D92A8507Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikagua na kuzungumza na wafanyabiashara katika  soko la Vyakula Michungwani Wilayani Muheza Mkoa wa Tanga leo.Rais Kikwete yupo katika ziara ya kikazi mkoa wa Tanga(picha na Freddy Maro)

0 comments:

Post a Comment

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Tanga Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa