Home »
» Naibu Waziri Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Annastazia Wambura akutana na uongozi wa Radio Maarifa iliyopo Jijini Tanga.
Naibu Waziri Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Annastazia Wambura akutana na uongozi wa Radio Maarifa iliyopo Jijini Tanga.
|
Mkurugenzi na mmiliki wa
wa Redio Maarifa Bw. Mohamed Somji akisaini kitabu cha wageni mara baada ya
kuwasili katika ofisi ya Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
kwa mazungumzo kuhusu kupata masafa ya kurusha matangazo kutoka Mamlaka ya Mawasiliano
Tanzania (TCRA) kushoto ni mtangazaji na mchambuzi wa mada katika Redio hiyo
Sheikh Jalala leo Julai 20, 2016 Jijini Dar es Salaam.
|
|
Naibu Waziri wa Habari,
Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Annastazia Wambura akizungumza na uongozi wa Redio Maarifa kuhusu kupata masafa
ya kurusha matangazo kutoka Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Ofisini
kwake Jijini Dar es Salaam leo Julai 2016, wa pili kushoto ni Mkurugenzi na mmiliki wa wa Redio Maarifa
Bw. Mohamed Somji na kushoto ni mtangazaji na mchambuzi wa mada katika Redio
hiyo Sheikh Jalala.
|
|
Mkurugenzi na mmilikiwa
wa Redio Maarifa Bw. Mohamed Somji akizungumza na Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni,
Sanaa na Michezo Mhe. Annastazia Wambura Ofisini kwa Naibu Waziri kuhusu kupata
masafa ya kurusha matangazo kutoka Mamlaka ya mawasiliano Tanzania (TCRA) Jijini
Dar es Salaam leo Julai 2016.
|
|
Mkurugenzi na mmilikiwa
wa Redio Maarifa Bw. Mohamed Somji akimuonesha Naibu Waziri wa Habari ,Utamaduni,
Sanaa na Michezo Mhe. Annastazia Wambura baadhi ya nyaraka za kibali cha awali
cha kurusha matangazo kutoka Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Ofisini kwa
Naibu Waziri leo Jijini Dar es Salaam Julai 20, 2016.
|
|
Afisa Habari Mwandamizi
kutoka Wizara ya Habari ,Utamaduni ,Sanaa na Michezo Bw. Jonas Kamaleki (kushoto)
akieleza umuhimu wa kufuata Sheria na maadili ya habari katika kufikisha ujumbe
kwa jamii wakati uongozi wa Redio Maarifa ulipokutana na Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na
Michezo Mhe. Annastazia Wambura kujadili kuhusu kupata masafa ya kurusha
matangazo kutoka Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) leo Julai 20,2016 Jijini
Dar es Salaam.
|
|
Mtangazaji na mchambuzi
wa mada katika Redio Maarifa Sheikh Jalala
akimkabidhi zawadi Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe.
Annastazia Wambura wakati uongozi wa Redio Maarifa ulipomtembelea ofisini kwake
leo Jijini Dar es Salaam Julai 20, 2016.caption |
|
Naibu Waziri wa Habari
Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Annastazia Wambura akiwa katika picha ya pamoja
na uongozi wa Redio Maarifa iliyopo Jijini Tanga walipomtembelea ofisini kwake Jijini
Dar es Salaam leo Julai 20,2016.
Picha na Shamimu Nyaki
|
0 comments:
Post a Comment