Home » » WAZIRI LUKUVI AZINDUA BARAZA LA ARDHI WILAYA YA LUSHOTO MKOANI TANGA

WAZIRI LUKUVI AZINDUA BARAZA LA ARDHI WILAYA YA LUSHOTO MKOANI TANGA

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 



Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi akikata utepe kuashiria kuzindua Ofisi ya Baraza la Ardhi la Wilaya ya Lushoto Mkoa wa Tanga ambako wakazi wa wilaya hiyo walikuwa wakilazimika kusafiri umbali mrefu kwenda wilayani Korogwe kuitafuta haki yao pindi wanapokumbwa na utata katika ardhi.
Waziri Lukuvi akikagua Ofisi mpya ya Mwenyekiti wa Baraza la Ardhi wilayani Lushoto mkoani Tanga baada ya kuizindua jana asubuhi.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi akiwahutubia wananchi wa wilayani Lushoto mara baada ya kuzindua ofisi mpya za Baraza la Ardhi wilayani Lushoto jana.
Jengo lililo na Ofisi mpya za Baraza la Ardhi Wilayani Lushoto mkoani Tanga linavyoonekana katika picha.
Samani zilizopo kwenye ofisi za Baraza la Ardhi wilayani Lushoto Mkoani Tanga linavyoonekana pichani.
Samani zilizomo ndani ya jengo hilo la Baraza la Ardhi wilayani Lushoto zinavyoonekana.

Waziri Lukuvi akihutubia wananchi wa Lukuvi mara baada ya kuzindua ofisi hizo mpya za Baraza la Ardhi wilayani Lushoto.
Akipokea mchango wa wadau wa Usambara Investment waliojitolea rima 10 za karatasi kwaajili ya matumizi ya ofisi hizo.

Akisikiliza malalamiko ya mmoja wa wakazi wa Wilaya ya Lushoto mara baada ya kuzindua ofisi mpya za Baraza
Samani zilizomo ndani ya Ofisi za Baraza la Ardhi.

0 comments:

Post a Comment

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Tanga Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa