Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
Mganga
Mkuu wa Zahanati ya Ithna-Asheri iliyopo jijini Arusha Dkt. Mohammed
Alawi akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) kutoka Taasisi ya
“Malaria No More” ya nchini Marekani, ambao wapo nchini kwa ziara ya
siku tano kujionea namna Tanzania inavyopambana na ugonjwa wa malaria.
Mganga
Mkuu wa Zahanati ya Ithna-Asheri iliyopo jijini Arusha Dkt. Mohammed
Alawi akiongea na baadhi ya waandishi wa habari kutoka Taasisi ya
“Malaria No More” ya nchini Marekani, ambao wapo nchini kwa ziara ya
siku tano kujionea namna Tanzania inavyopambana na ugonjwa wa malaria.
Mwandishi
wa habari kutoka Taasisi ya “Malaria No More” ya nchini Marekani
Lyndsey Wajert akiwa tayari kufanyiwa vipimo vya malaria na Mtaalamu wa
Maabara Apolinary Mushi katika zahanati ya Ithna-Asheri iliyopo jijini
Arusha wakati wa ziara ya waandishi wa Habari hao ambao wapo nchini kwa
ziara ya siku tano kujionea namna Tanzania inavyopambana na ugonjwa wa
malaria.
Mtaalamu
wa Maabara Apolinary Mushi anayefanya kazi katika zahanati ya
Ithna-Asheri iliyopo jijini Arusha akifanya mahojiano na mwandishi wa
habari Katy Migiro wa Taasisi ya “Malaria No More” ya nchini Marekani
wakati wa ziara mkoani Arusha kujionea namna Tanzania inavyopambana na
ugonjwa wa malaria.
Waandishi
wa habari kutoka Taasisi ya “Malaria No More” ya nchini Marekani wakiwa
tayari uwanja wa ndege wa Arusha kwa safari ya kuelekea mkoani Tanga.
Eneo
la ukingo wa Bahari ya Hindi mkoani Tanga ambapo karibu na eneo
walipofikia waandishi wa habari kutoka Taasisi ya “Malaria No More” ya
nchini Marekani wakati wa ziara yao mkoani Tanga kujionea namna Tanzania
inavyopambana na ugonjwa wa malaria.
(Picha na Eleuteri Mangi-MAELEZO, Tanga)
0 comments:
Post a Comment