Home » » KINANA AHITIMISHA ZIARA TANGA

KINANA AHITIMISHA ZIARA TANGA


 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho, Nape Nnauye wakiwapungia mkono wananchi walipokuwa wakiwasili kwenye mkutano wa hadhara kwenye Uwanja wa Tangamano, jijini Tanga jioni ya leo, alipokuwa akihitimisha ziara ya siku 11 katika Mkoa wa Tanga.
Kinana akihutubia umati wa watu kwenye mkutano wa hadhara, jijini Tanga leo.PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG
 Kinana akipanda ngazi kwenda jukwaani wakati wa mkutano huo.
 Bajaji zikiongoza msafara wa Kinana kwenda kwenye mkutano wa hadhara.
 Msafara wa pikipiki ukiongoza msafara wa Kinana jijini Tanga.


 Bodaboda zikiongoza msafara wa Kinana
Kinana akipiga Saluti ikiwa ni ishara ya kuwasalimia wananchi katika mkutano huo
 Sehemu ya umati wa wananchi wakiwa katika mkutano huo
 Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akihutubia mkutano wa hadhara jijini Tanga
Kinana akihutubia katika mkutano wa hadhara na kuelezea miradi mbalimbali iliyotekelezwa kwa kufuata Ilani ya Uchaguzi ya 2010
wa Jimbo la Tanga Mjini, Omari Nundu akielezea jinsi miradi ilivyotekelezwa  katika jimbo hilo
Kinana akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wapinzani walioamua kujiunga na CCM katika mkutano huo wa hadhara
Kinana akivalishwa kanzu aliyopewa na wazee wa Tanga baada ya kufurahishwa na hotuba yake
Wazee wa Tanga wakimpatia zawadi ya kiti maalumu Kinana
Wananchi wakiwa na hamu ya kupeana mkono na Kinana baada ya mkutano kumalizika
Kinana akiwa katika vazi alilopewa zawadi na wazee wa Tanga baada ya kufurahishwa na hotuba yake
Kinana akiondoka baada ya kumaliza mkutano
Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.

0 comments:

Post a Comment

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Tanga Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa